Watu wengi wamekuwa wakijiuliza nini maana ya mfumo mpya wa dunia ? (New world order). Kwa kutamka tu unaonekana ni mkakati wenye tija na una lengo la kutafuta ubinadamu wa kweli kati ya binadamu. Lakini kiuhalisia na hasa ukizingatia mkakati wake wa hawa watu wa ulaya kututawala ,basi mfumo huo unakuwa na kiasi kikubwa kabisa cha upinzani kwa mungu . Mfumo huu mpya unamtukuza zaidi Lucifer ambae ni Shetani Mkuu,