Music

This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 2 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 3 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 4 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 5 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

Friday, April 11, 2014

NINAPOKUMBUKA MIAKA KADHAA YA KUZALIWA.....

Maalumu kwa mama yangu.
Ilikuwa tarehe 12th April 198…, saa mbili usiku jijini Arusha, ilikuwa siku ambayo familia ya Mesaya Simanga Masakoi na Tiinoi Mashon Kivuyo (Mr & Mrs Mesaya) walipotunukiwa na Mungu zawadi ya mtoto wa kiume. Najaribu kuvuta hisia zangu juu ya furaha waliokuwa nao vijana hawa wa enzi zile kwa kufanikiwa kumpata mtoto mwenye afya njema na ambaye alipofinywa kwenye kisigino cha mguu wake alilia mara tatu kuonyesha kwamba ni mwanaume rijali.

Sunday, April 6, 2014

Fukununu, makala muhimu sana kwenu wana-UDSM

CHUO KIKUU KIMEGEUKA CHOO KIKUU
Yapata miaka zaidi ya miaka miwili (2) toka makala hii iliyoshika kasi na kupendeza machoni mwa wasomi wa CHUO KIKUU ilipopotea kwenye mbao za matangazo za Cafteria na Getini Mabibo Hostel. Kwa wale waliokuwa sehemu ya umajimui huu wa UDSM, makala ya mwisho ilitoka tarehe 17th December 2011 ikiwa na kichwa cha habari kilichonakshiwa kwa maneno ya MCHAWI HUYU HAPA.