Music

This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 2 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 3 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 4 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 5 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

Saturday, July 20, 2013

TUFANYE HIVI ILI TUMALIZE MIGOMO NA MAANDAMANO VYUO VIKUU......

MAONI YANGU KWA UTAWALA WA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM JUU YA NAMNA YA KUONDOA AU KUPUNGUZA MIGOMO NA MAANDAMANO YANAYOONEKANA KUONGEZEKA KILA KUKICHA.
Na: Ole Mesaya

Tatizo la migomo na maandamano ndani ya chuo kikuu cha Dar es salaam halijaanza hivi karibu. Tatizo hili lilikuwepo toka enzi lakini kwa miaka ya hivi karibuni limeonekana kushika kasi zaidi na kupelekea chuo kupoteza rasilimali nyingi na kuwatimua chuo wanafunzi wote ambao wanaonekana kuwa ni chanzo cha tatizo hili. Pamoja na jitihada zote hizi zinazofanywa na uongozi wa chuo bado tatizo hili limeonekana kutokoma, zaidi wanafunzi wengi wanazidi kupotea na rasilimali nyingi zinatokomea bila mafanikio.

Ningependa kuchukua nafasi hii kama mwanafunzi wa chuo kikuu cha Dar es salaam kutoa maoni yangu juu ya nini kifanyike ili kupunguza kama sio kutokomeza kabisa suala la migomo ndani ya chuo chetu.
I. Kwanza kabisa Chuo pamaja na taasisi zinazohusika zijitahidi kukabiliana na kutatua matatizo yanayowakabili wanafunzi kwa njia ya majadiliano na kwa haraka zaidi na siyo kusubiri mpaka mgomo au maandamano kutokea. Tofauti na ilivyo sasa hivi, ambapo taasisi zinazohusika zinasubiri mpaka mgomo utokee ndipo wachukue hatua za kukabiliana na mgomo badala ya kuchukua hatua hizo kukabiliana na matitizo hayo kabla mgomo haujatokea.

II. Chuo kiangalie zaidi na kijikita kwenye vyanzo vya migomo, ikiwa ni pamoja na sababu ya mgomo kutokea kuliko kujikita na kuwapa adhabu wanafunzi wanaoanzisha na kushiriki kwenye mgomo huo. Kwa kufanya hivyo chuo kitakuwa kimezuia uwezekano wa mgomo mwingine kutokea kuliko ilivyo sasa ambapo chuo kinawapa adhabu, ikiwepo kuwafukuza chuo wanafunzi wanaooekana kushiriki kwenye mgomo ilihali tatizo lilosababisha mgomo likibaki bila muafaka.

III. Chuo kiweke utaratibu ambao utawalazimu viongozi wa serikali ya wanafunzi kukutana na wanafunzi na kujadili kwa pamoja juu ya matatizo na changamoto zinazowakabili wanafunzi angalau mara tatu kwa muhula wa masomo yaani mwanzo, katikati na mwishoni mwa muhula wa masomo. Tofauti na ilivyo sasa ambapo school baraza ipo mara moja tu kwa mwaka na mara nyingi imekuwa haifanyiki. Kwa kufanya hivi wanafunzi wataweza kuwasilisha changamoto zinazowakabili kwa uongozi wao na hoja hizo kuwasilishwa panapohusika haraka na mapema zaidi.

IV. Chuo kikuu kifanywe kitovu cha kujadili na kutafutia ufumbuzi changamoto zinazoikabili nchi yetu. Hii itawezekana kama chuo kitaweka utaratibu wa kuruhusu jukwaa la malumbano ya hoja baina ya wanafunzi angalau kila jumamosi ya mwisho wa wiki, kwani hii itawapa nafasi vijana na wasomi wa vyuo vikuu kushiriki katika harakati za kukabiliana na changamoto zinazoikabili nchi yetu. Kwa kufanya hivyo chuo kitakuwa kimeondoa uwezekano wa wanafunzi kufanya mikutano isiyo ya halali kama ilivyo sasa kujadili mwenendo na hatma ya taifa letu.

V. Ilivyo sasa, Chuo kinatumia rasilimali na nguvu nyingi kupambana na wanafunzi. Kwa kufanya hivi Chuo kitakuwa kinapambana na wahanga wa tatizo huku tatizo likiendelea kushamiri na kunawiri pasipo kutafutiwa ufumbuzi wa kuliondoa tatizo lenyewe. Kwa maoni yangu chuo kingetumia nguvu hizo na rasilimali hizo kukabiliana na changamoto zinazowakabili wanafunzi, kwani kama wataendelea kupambana na wanafunzi na kuliacha tatizo likiendelea kukua ni dhahiri shairi kwamba migomo na maandamano kamwe hayatakwisha kwani chanzo cha mgomo bado kipo na kinaendelea kukua.

VI. Pindi mgomo au maandamano yanapotokea, chuo kijikite zaidi kwenye tatizo lililosababisha mgomo kuliko kukimbilia kuhusisha matatizo yaliyosababisha mgomo na vyama vya siasa. Kwani kufanya hivyo kamwe hakutakuwa na suluhisho la migomo na maandamano, kutokana na kwamba tatizo halisi litakuwa limeachwa kwa kujikita kwenye hoja isiyo ya msingi.

VII. Pindi adhabu inapotolewa na chuo, Chuo kijitahidi kufuata sheria, kanuni na taratibu zilizowekwa ili kuondoa malalamiko miongoni mwa wanafunzi pamoja na wale waliopewa adhabu. Kwa mfano wanafunzi wapewe adhabu baada ya kuhojiwa na kusikilizwa ushahidi wao badala ya kufuata hisia na hasira kama ilivyo sasa. 

VIII. Uongozi na utawala wa chuo usikimbie changamoto bali watumie changamoto hizo kama vyanzo vya uwajibikaji. Tofauti na ilivyo hivi sasa, wenye madaraka ndani ya chuo kikuu wanakwepa changamoto zinazowakabili wanafunzi kwa kuogopa kupoteza nafasi zao za madaraka endapo wataungana pamoja na wanafunzi kuwasilisha changamoto hizo panapohusika.

IX. Serikali ya wanafunzi DARUSO iwe chombo huru na kinachotambuliwa na kuheshimiwa na utawala wa chuo kikuu cha Dar es salaam. Ilivyo sasa, serikali ya wanafunzi DARUSO haitambuliwi wala kuheshimiwa na utawala wa chuo kwani katika hatua zote za kinidhamu zilizochukuliwa na utawala wa chuo kwa wanafunzi, serikali ya wananfunzi haijajulishwa kimaandishi. Mfano barua zote za kuwasimamisha na kuwafukuza chuo wanafunzi hakuna nakala yoyote iliyopelekwa kwa serikali ya wanafunzi.
Ni matumaini yangu kwamba kama tutashirikiana kwa pamoja kuyatekeleza haya, siyo siri tutakuwa tumepunguza kama siyo kutokomeza kabisa mianya yote inayosababisha migomo na maandamano na kushusha heshima ya chombo hiki cha umma.

Asanteni.
Maoni haya yamenivutia sana mpaka nimeona niyachapishe hapa ili wahusika waweze kuchukua chochote wanachoona kinafaa kutatua Migomo Vyuo Vikuu nchini hususani Utawala wa Vyuo hivyo na Serikali. Pia serikali za Wanafunzi kama DARUSO, IFMSO, UDOSO na zingine zisome makala hii kujiongeza. maoni haya ni mali ya mwandishi Bwana ole Mesaya pichani juu. Yametolewa toka kwenye Ukurasa wa facebook wa UDSM

WITO WA KUSITISHA TOZO/KODI YA LAINI YA SIMU KILA MWEZI KUFUATIA MABADILIKO YA SHERIA YA KODI 2013


Sisi wananchi wa Tanzania: 
• Tukiwa ni wapiga kura wa majimbo mbalimbali nchini Tanzania, tumechukua jukumu leo kutoa wito kwa wabunge na serikali kufuta tozo/kodi mpya ya laini za simu iliyoanza kutumika baada ya sheria kupitishwa na Bunge Juni 2013. 
• Hii ni sehemu muhimu ya wajibu wetu kama raia waaminifu, wenye nia njema ya kuchangia mawazo bora yatakayotuletea maendeleo endelevu nchini kwetu. 
• Bila mjadala mpana na mawazo chanya yaliyochambua masuala kwa undani kama msingi wa maamuzi, nchi itafanya maamuzi dhaifu yasiyosimama kwenye misingi ya hoja na ukweli wa mambo. 
• Kukaa kimya kwenye jambo ambalo tunaliona linakandamiza wananchi na huenda likaturudisha nyuma kimaendeleo, ni kushindwa kuwajibika kama wananchi.

Tunapinga kodi ya laini za simu
KWA SABABU:- Sisi wananchi hatujashirikishwa kupitia mjadala wa Bunge kuhusu kodi hii kwani Waziri wa fedha hakusoma hiki kipengele wakati wa hotuba yake na tulikosa taarifa mpaka baada ya kupitishwa kwa sheria ya kodi hii.

KWA SABABU:- Kodi hii inamkandamiza mtanzania wa hali ya kawaida na wa hali ya chini ambao ni 67% ya wananchi wanaoishi chini ya kipato cha dola 1.25 (shs 2,000) kwa siku. Takwimu zinaonyesha kuwa kati wa wamiliki wa laini za simu milioni 22, milioni 8 wanatumia chini ya shilingi 1,000 kwa mwezi. Kuwaongezea mzigo wananchi hawa kwa kiwango ambacho tayari wanashindwa kumudu ni kuwanyima kabisa fursa ya kutumia huduma hii muhimu.

KWA SABABU:- Kodi hii haifuati misingi ya kulipa kwa kadri ya matumizi na ni kodi kandamizi inayowatoza wamiliki wa laini ya simu wote kiasi kimoja bila kuzingatia kiwango cha matumizi. Hii inamkandamiza mwananchi wa hali ya chini kwa kumlazimisha kulipa kiwango kikubwa cha kodi kulingana na mapato yake. Tukichukulia mfano wa mtu anayetumia shilingi laki tano kwa mwezi kama muda wa maongezi na yule anayetumia shilingi elfu tano - na tukilinganisha uwiano wa malipo haya na matumizi yao – basi yule anayetumia shilingi laki tano analipa 0.2% ya matumizi yake, ila yule anayetumia shilingi elfu tano anatozwa 20% ya matumizi yake.

KWA SABABU:- Kodi hii ni juu ya ongezeko la kodi mbalimbali katika huduma za simu za mkononi ikiwa ni pamoja na kuongezeka kwa ushuru kutoka 12% kwenda 14.5% na pia kodi hii kutozwa kwa huduma zote ingawa awali ilitozwa kwa huduma ya matumizi ya kuongea. Hivi sasa utumiaji wa internet, kutuma na kupokea pesa kwa njia ya simu za mkononi unatozwa kodi. Ongezeko hili pekee limeshafanya huduma za simu za mkononi kupanda gharama kwa kiasi kikubwa. Ongezeko hili la shs 1,000 litazidi kuwaumiza wananchi.

KWA SABABU: - Kodi hii pekee inampunguzia mtumiaji muda wa maongezi na huduma zingine za simu za mkononi ikiwa ataendelea na matumizi yake ya mwezi kama kawaida. Kwa mfano mtumiaji akitumia kifurushi cha bei ya shs 475 inayompa dakika 20 za maongezi, 50 MB za data, na sms 100 kwa masaa 24, kwa kodi ya shs 1,000 kwa mwezi ni sawa na serikali kuchukua siku mbili za kifurushi hiki kila mwezi au ni sawa na kuchukua dakika 40 za maongezi, 100MB za data na sms 200 kila mwezi.

KWA SABABU:- Huduma ya simu za mkononi siyo anasa na ni sehemu muhimu ya mawasiliano na kiungo kinachochangia kurahisisha harakati za maendeleo. Kwa mfano wakulima hutumia huduma hizi katika kuuza mazao yao na kupokea fedha; akina mama wajawazito hupelekewa taarifa muhimu kuhusu afya zao; wanafunzi kupitia internet wanaweza kupata habari muhimu zinazohusiana na masomo yao nk. Kodi hii itawanyima fursa ya kutumia huduma hizi muhimu.

KWA SABABU:- Serikali inaweza punguza matumizi yake mengineyo (safari, posho, semina, manunuzi ya magari na kudhibiti ufisadi) hivyo kufidia pengo litakalosababishwa na kusitisha tozo/kodi ya laini ya simu.


KWA SABABU:- Pia, utafiti uliofanywa na Interfaith Standing Committee on Economic Justice and the Integrity of Creation mwaka jana uligundua kuwa kwa wastani Tanzania hupoteza dollar billion moja (takriban shs trilioni 1.8) kila mwaka kutokana na ukwepaji kodi, uhamishaji harama wa fedha na misamaha ya kodi. Tunaitaka Serikali yetu iongeze ufanisi wa kukusanya kodi kutoka vyanzo vilivyopo tayari na kuondoa misamaha kwa hivyo itaziba pengo la shs billioni 264 kutoka kwa kodi ya laini ya simu za mkononi.

KAMA LOWASA NI MSAFI, SASA NANI MCHAFU CCM?

CHAMA cha Mapinduzi (CCM) kimemaliza vikao vyake mjini Dodoma wiki iliyopita. Kama kawaida yake kwa siku za karibuni, kumalizika kwa vikao vya chama hicho, ni mwanzo wa mnyukano mpya ndani ya chama na maandalizi ya harakati mpya za kumalizana. 
Kama wengi wetu tulivyotabiri tangu Aprili, mwaka huu kuwa dhana ya kujivua gamba ndani ya CCM ilikuwadaganya toto, imetokea kweli na safari hii Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) imegwaya mbele ya ubabe wa mafisadi na kuishia kuagiza eti suala hilo lirudishwe katika vikao vya ngazi za chini.
Pamoja na utitiri na urefu wa vikao vya maandalizi ya NEC, haikuwezekana kutekeleza dhana ya kujivua gamba kama ambavyo ilikuwa ikipigiwa chapuo na watendaji wapya wa sekretariati ya CCM, wakiongozwana Katibu wa Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye. 
Alikuwa ni Nape pamoja na wenzake kina John Chiligati, Wilson Mukama na Mzee Pius Msekwa waliorindima baada ya kikao cha NEC ya April 2011, wakidai mafisadi ni ama wajiondoe haraka ndani ya chama au wafukuzwe ndani ya siku 90. 
Walianza kampeni hiyo baada ya kikao hicho wakisafiri kwa barabara na kufanya mikutano katika miji ya Dodoma, Morogoro, Chalinze na kupokelewa jijini Dar es Salaam kwa mbwembwe nyingi. Rais Kikwete alinukuliwa baadaye kidogo akiwa katika uzinduzi wa nyimbo za Injili kuwa aliyokuwa akiyasema Nape Nnauye yalikuwa na baraka za Chama cha Mapinduzi.
Kwa mshangao wa wengi, katika kikao kilichopita, ambacho kilitarajiwa kutekeleza azimio muhimu la NEC ya April, aliibuka Edward Lowassa na kudai bila kigugumizi kuwa alichokifanya akiwa Waziri Mkuu na kutafsiriwa kuwa ni fisadi, kilikuwa na baraka za Rais Kikwete, Baraza la Mawaziri na timu ya makatibu wakuu. Alilalamika wazi kwa jinsi alivyoendelea kudhalilishwa huku uongozi wa serikali na chama ukikaa kimya kana kwamba haujui ukweli wa mambo. 
Kimsingi, Edward Lowassa alimaanisha kuwa yeye ni mtu safi kwa sababu alitekeleza yale aliyoelekezwa kutekeleza na kwa hiyo, kujiuzulu kwake kamwe kusitafsriwe kama alama ya kukubali kuwa fisadi. Alikumbusha na kuonya kuwa ikiwa tuhuma tu zinatosha kumfukuza mtu kutoka kwenye chama, basi hata Rais Kikwete asingeweza kuwa Rais, ila kwa busara na hekima za Mzee Mkapa, Rais Kikwete sasa ni Rais pamoja na tuhuma zote alizorundikiwa wakati ule. Kimahesabu, Lowassa alisema ikiwa yeye ni mchafu, basi wote au wengi sana ndani ya CCM ni wachafu, vinginevyo yeye ni msafi.
Tunaambiwa ilibidi Rais Mkapa aingilie kati ili kuzuia Rais Kikwete asijibu tuhuma alizorushiwa na Lowassa na wala watu wasiruhusiwe kuendelea na mjadala huo ulioelekea kuchafua hali ya hewa ndani ya ukumbi. 
Hii ni kawaida sana katika falsafa ya utawala wa Kiafrika kwani tuhuma mbaya dhidi ya mtawala huwa haziruhusiwi kujibiwa ili kuepusha hatari ya watu wabishi kuja na ushahidi wa kuthibitisha tuhuma zao dhidi ya mtawala.
Swali la msingi tunalohitaji kujiuliza ni ikiwa Edward Lowassa anadai yeye ni msafi, na baadhi ya wajumbe wa NEC wanakubaliana naye, je ni nani ndani ya CCM ya sasa ni mchafu? Sina maana kuwa Edward Lowassa ndiye alikuwa mchafu peke yake na kwa kuwa sasa inadaiwa ni msafi, kwa hiyo wachafu hawapo! La hasha, hii si maana yangu.
Maana yangu haswa ni kuwa, Edward Lowassa tangu enzi ya hayati Baba wa Taifa, hajawahi kuwa na sifa ya usafi au uadilifu. Yeye ana sifa ya uchapakazi, uthubutu na ukarimu. Tangu enzi hizo na hasa baada ya kuzodolewa na Baba wa Taifa juu ya utajiri mkubwa usiokuwa na maelezo, Edward Lowassa aliingia katika mgogoro mwingine na Rais Benjamin Mkapa pale alipohamasisha Umoja wa Vijana (UVCCM) kugoma kumpigia kampeni baada ya kuteuliwa kuwa mgombea wa nafasi ya urais kupitia CCM, mwaka 1995. 
Rais Mkapa alinyenyekea na kukubali masharti aliyopewa na ndipo vijana wakaingia katika kampeni. Hata hivyo, Mkapa aliamua kumwacha nje Edward Lowassa katika serikali yake ya kwanza hadi alipofuatwa na wazee miaka kadhaa baadaye na kumrejesha tena serikalini. Rais Mkapa alikiri baadaye kuwa alimrejesha serikalini kwa heshima ya wazee wale na wala si kwa uadilifu wake.
Edward Lowassa ana kipaji cha kuhamasisha na kutisha watawala wasiojiamini. Alifanya hivyo mwaka 2005 ili kumwingiza Jakaya Kikwete madarakani. Kama alivyodai mwenyewe wiki iliyopita mbele ya NEC, tuhuma nyingi zilimkabili Jakaya Kikwete na kutishia kuondoa jina lake katika kinyanganyiro cha urais.
Edward Lowassa kwa umahiri mkubwa, alikusanya vijana kutoka nchi nzima na kuwaleta Dodoma ili kuwatisha wazee kuwa Jakaya Kikwete asipoteuliwa, CCM ingesambaratika vibaya sana. Pamoja na jeuri yake na msimamo wake, Rais Mkapa aliogopa sana pale alipoitwa na wazee aliowakuta Dodoma na kuambiwa kuwa “chaguo ni Jakaya” vinginevyo Dodoma hapatatosha. 
Mkapa alinywea na kujikuta anaimba wimbo wa Jakaya huku Lowassa akiwa anachekelea kwa kejeli ya hali ya juu. Akiwa ni kamanda wa mtandao uliomwingiza Kikwete Ikulu, Lowassa kwa wema na ubaya, aliufahamu udhaifu wa Kikwete na kuufanya mtaji wa kumhujumu wakati wowote. Alichokifanya wiki iliyopita ni utangulizi wa makubwa yajayo.
Mbinu aliyoitumia Lowassa mwaka 2005 kumtisha Mkapa ili kumwachia Jakaya aingie bila mikwaruzo, ndiyo hiyo hiyo aliyoitumia ‘kummaliza’ Kikwete wiki iliyopita mjini Dodoma. Alikusanya makundi ya vijana kutoka sehemu mbalimbali na kuwaleta Dodoma huku akiwachochea kuwa umoja wao unafutwa; aliwakamata wazee kadhaa maarufu katika chama na kuwafadhili; akawakamata baadhi ya wenyeviti wa mikoa; akaigawa sekretariati ya CCM na kisha akawapata Wazanzibari wengi upande wake. 
Hii ilitosha kumtisha Kikwete mpaka akawatosa majemedari wake waaminifu akina Nape, Chiligati, Sitta, Membe, Makongoro Nyerere na Kinana. Tishio la kuenguliwa katika nafasi ya uenyekiti wa chama lilimfanya hata amtose katibu wake Mkuu, Wilson Mukama, ambaye ndiye mjenzi wa dhana ya kurejesha hadhi ya chama kwa kuwaondoa wanaokichafua.
Kama ilivyokuwa kwa Mkapa mwaka 2005 kwa watu kudhani amerogwa na nguvu za giza, ndivyo ilivyokuwa kwa Jakaya Kikwete wiki iliyopita ambaye watu wengi wa karibu naye wanaamini amerogwa na nguvu ya “TV Emmanuel” au nguvu ya aina fulani inayomfanya awe na kigugumizi kisicho cha kawaida. 
Waafrika ni wepesi wa kuamini ushirikina lakini kilichofanyika si kigeni katika siasa za makundi. Wanasiasa wajanja hutumia mbinu za kuwafitini wenzao kwa kuwatisha kuwa watatoa hadharani madhambi yao na kuwafanya wafyate mikia yao. Edward Lowassa anajua vema kutumia nafasi hii na anaelekea kufanikiwa. Pigo alilotoa kwa Kikwete wiki iliyopita linatishia kabisa kuua fikra zozote za kuibua tena dhana ya ufisadi katika nafasi na haiba ya Edward Lowassa.
Pigo hilo lilimfanya Kikwete akatae au asahau hata kuwapa nafasi ya kuongea wale aliokuwa amewapanga waongee ili kumtetea yeye binafsi au kummaliza Edward Lowassa. Baadhi ya marafiki zake wanaomboleza kwa kunyimwa nafasi ya kumsaidia baada ya Edward Lowassa kuwa amemrushia makombora mazito sana.
Mpaka hapa, bado swali linabaki, ikiwa Edward Lowassa amefanikiwa kujinasua katika tuhuma za ufisadi na kuwafanya washtaki wake wagwaye, ni nani basi anaweza kumzuia kuwa Rais ajaye kupitia CCM?
Je, wale waliokuwa msitari wa mbele kumtuhumu hadharani watafanya nini watakapotakiwa kupanda jukwaani kumnadi kama “tumaini la pili lililorejea”? Jambo moja ni wazi: Uongozi dhaifu waweza kuwafanya mamluki kuwa mashujaa na wahenga wa kizazi husika;

Source: Raia Mwema

HUYU NDIYE ALIYETUNGA JINA TANZANIA

Kwa muda mrefu sana watu wengi wamekuwa wakijiuliza ni nini hasa asili ya jina la Tanzania na majibu yao yamekuwa magumu kupatikana hasa kutokana na uwazi wa historia ya jina hilo kutowekwa bayana na serikali na hata katika maadhimisho yake ya sikukuu za muungano jina hili limekuwa halitajwi ni wapi lilipotokea licha ya kuambiwa kuwa TANZANIA ni muunganikoa 
wa nchi mbili ambazo ni Yanganyika na Zanzibar lakini ni nani hasa aliekaa chini na kubuni jina hili au nini maana halisi ya jina Tanzania,hii bado imekuwa ngumu kwa watazania wengi kupatajibu.
Ikumbukwe kwamba jina Tanzania linakuwa halina maana halisi ya moja kwa moja licha ya kwamba ni jina la muungano wa nchi mbili,jina lililotokea baada ya nchi hizi mbili kuungana.
Baada ya nchi nyingi za kiaafrika kupata uhuru,kunako miaka ya sitini baadhi yao zilibadili majina na kuiita majina mapya,kwa mfano:nchi ya Malawi ilibadilishwa jina lake mwaka 1964 na kuitwa malawi badala ya nyasa land,nchi ya Sudan france ilibadilishwa jina mwaka na ikaitwa Mali mwaka 1960, na nchi nyingine kibao ziliweza kubadilishwa majina kutokana na sababu mbalimbali.
Hivyo haikuwa jambo la ajabu pale muungano wa nchi hizi ulipoitwa Tanzania.
Kwa wanahistoria wa Tanzania jina la Muhhamadi Iqbqli Dar siyo jina geni kwao.
Kwani huyu ni mtoto Daktari maarufualikuwa akiishi mjini Morogoro kunako miaka ya 1963.
Muhhamadi Iqbali Dar ndie aliebuni jina la Tanzania baada ya kuona tangazo katika gazeti la THE STANDARD ambako aliona tangazo la kubuniwa kwa jina muungano na wakati huo bwana huyu alikuwa ni mwanafunzi katika sekondari ya mzumbe ya morogoro.
Baada ya kuona tangzo hilo kijana huyo aliiamua na yeye kukaa chini ili kujaribu kuunda jina ambalo ataon yeye kuwa linafaa kutumika kama jina la muungano.
Kwanza kabisa alikaa chini na kwa mujibu wa mafundi ya dini ya kiislamu kuwa mtu unapotaka kufanya kitu ni sharti uanze na jina BISMILAHI,basi ndivyo bwana huyo alivyofanya,kwa aliandika neno BISMILAH na baadae alichukua herufi tatu za mwanzo katika jina Tanganyika na kupata neno TAN kisha akachukua herufi tatu katika jina la Zanzibar yaani ZAN na kuziungani kwa pamoja na herufi tatu katika jina la Tanganyika na hapo alipata neno TANZAN,Baada ya kupata jina hili aliamua kulitaja mara nyingi nyingi na kuona kuwa jina hili linakuwa halivutii sana mdomoni na ndipo alipoamua kuoneza herufi I kutoka katika jina lake na kuoongeza harufi A kutoka katika dhehebu lake la ahmadiya na alipoziunganisha pamoja alipata neno TANZANIA. Alituma jina hilo kwa serikali ya jamuhuri ya Tanganyika na muda siyo mrefu baba yake alipokea barua nzito kutoka serikalini ikimtaja Muhamadi Iqbal Dar kuwa ndie mshindii wa kubuni jina la muungano(Tanzania).
Katika barua hiyo ilimtaja Muhamadi Iqbali Dar kuwa ndie mshinde na atapatiwa zawadi ya shilingi mia mbili ambayo atagawana wenzake wengine ambao nao pia waliweza kubuni jina kama hilo,kalini katika barua hiyo licha ya Muhamadi Dar kutajwa kama mshindi na kupewa fungu lake,washindi wengine hawakutajwa.
Barua hiyo ilisainiwa na Idrisa Abdul Wakil ambae kwa wakati huo alikuwa waziri wa habari na utalii.
Mpaka muda huu histori ya jina hili imekuwa ikiweka kapuni bila ya kutajwa hali ya kuwa ni muhimu sana kwa watanzania.
Unaweza pia kusoma kitabu kimoja kilichoandikwa na M.H:Mubiru juu ya kubuniwa kwa jina hili,kitabu hicho kinajulikana kwa jina la NANI ALOBUNI JINA TANZANIA,ni kitabu kinachopatikana kwa gharama nafuu kabisa na pia nimekuwa nikikiona mara nyingi katika maonyesho ya nane mkoani Arusha

NENO LANGU

Fikiri kwa makini juu ya tafakuri hii...............

Neno likishanenwa mnenaji hutegemea kupata mawazo zaidi kutoka kwa hadhira na hadhira hutegemea kutumia ama kurudufisha kwenye shuguli za kila siku.
Leo nawatunuku maneno haya ili kila mmoja ayafanyie utafakuri kama yana mchango kwa maendeleo ya nchi yetu na jamii yetu kwa ujumla.
1. Ili kushusha gharama za usafirishaji, usafiri wa treni upewe kipao mbele. Kwa kuwa serikali imeshindwa kufufua usafiri wa treni, tufunguwe milango kwa makampuni binafsi kuwekeza kwenye hili. Masharti ya uwekezaji:
i. Mwekezaji atarekebisha njia zote za treni
ii. Mwekezaji anatakiwa kuwa na wafanyakazi watanzania zaidi ya 75%
iii. Mwekezaji atatakiwa kuleta vichwa vya treni kwa garama zake/ kuruhusu ubia na wawekezaji wengine
iv. Bei ya usafiri na usafirishaji kwa njia hii utasimamiwa na serikal
v. Mwekezaji atapewa tax holiday ya miaka 5, kama kampuni inafanya vizuri kama ilivyopangwa na serikali
vi. Mwekezaji atafungiwa na kufilisiwa mara moja kama atashindwa kutimiza masharti ama atashindwa kufanikisha malengo atakayopewa na serikali ndani ya siku 365
vii. Ni marufuku wa watumishi wa umma kuwa na ubia na makampuni haya
2. Ili kupunguza gharama za uzalishaji, serikali iruhusu uwekezaji binafsi kwenye nishati ya umeme na TANESCO ibaki kama chombo cha kusimamia na kuratibu kama ilivyo TCRA. Masharti yawe:
i. Ni marufuku kwa mwekezaji kutoa/kuuza nishati nje ya nchi
ii. Mwekezaji atatakiwa kuwekeza na kuuza bidhaa yake (nishati ya umeme) kwa watanzania wote wa mijini na vijijini kwa bei nafuu
iii. Hakutakuwa na ruhusu kwa mwekezaji mmoja kuwekeza kwenye chanzo zaidi ya kimoja, mf maji, gesi, nyukilia, mawimbi etc
iv. Ni marufuku kwa mwekezaji kuhamisha rasilimali ya uzalishaji kutoka sehemu moja na kuipeleka kwingine kwa uzalishaji wa nishati, mf ni marukufu kutoa gesi Mtwara na kuipeleka Dar ama Bagamoyo bali utajenga kinu cha uzalishaji wa nishati mtwara na kitakachotoka mtwara ni nishati ya umeme
v. Bei ya kuuzia nishati itasimamiwa na serikali
vi. Wafanyakazi watatakiwa kuwa zaidi ya 75% ni watanzania
vii. Mwekezaji atakayesambaza huduma yake vijijini hatatozwa kodi
viii. Kila mwekezaji atapewa tax holiday ya miaka 5
3. Ili rasimali za asili zimnufaishe mtanzania, wawekezaji wote wa madini na rasilimali asili:
i. Ni marufuku kusafirisha rasilimali asili nje ya nchi bali atatakiwa kujenga viwanda mama ndani ya nchi na kitakachosafirishwa ni final goods/consumer goods
ii. Wafanyakazi wote kwenye kila idara wanatakiwa kuwa zaidi ya 75% wawe ni watanzani asili
iii. Rasilimali asili zilenge kunufaisha eneo ambapo rasilimali hiyo inapatikana, mf huduma za afya, elimu, umeme, maji nk ziboreshwe kwa ushirika wa mwekezaji na serikali
iv. Hakutakuwa na uwekezaji binafsi kwenye vivutio asili kama wanyamapori, milima, mabonde nk
v. Ni marufuku kwa mfanyakazi wa umma kuwa na ubia na mwekezaji

Nategemea mawazo yenu zaidi kwa hili la leo kabla sijaleta sehemu ya pili ya "NENO" langu.


Fanya tafakuri tunduizi...........

Sunday, July 14, 2013

Tanzania Nchi Yetu Sote
Oloshoro ngararumu ugali makandeee...batiki khanga kitenge kaniki takwenya shimbonyi kamwe urewedi....kiujamaa kama azimio la Arusha.
yafuatayo ni matokeo halisi
1. Kata ya Themi
chadema= 678
ccm =326
cuf=313
2.Kata ya kimandolu
chadema=2665
ccm=1169
3.Kaloleni
chaedma=1019
ccm=389
cuf=169
4.Elerai
chadema=1715
ccm=1239
cuf=213
GOD BLESS ALL


KINANA KUMPELEKA MBUNGE MAHAKAMANI


KINANA AMBURUZA KORTINI MBUNGE MSIGWA BAADA YA KUMWUITA JANGILI

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Abdul-rahman Kinana amemfungulia kesi Mbunge wa Iringa Mjini, Peter Msigwa (Chadema), kutokana na kumtuhumu anajihusisha na ujangili na biashara haramu ya pembe za ndovu.

Kinana amefungua kesi hiyo katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kutokana na kitendo cha Mbunge huyo kutoa tuhuma hizo dhidi yake kwa nyakati tofauti nje na ndani ya Bunge, pia alikataa kuzikanusha na kumuomba radhi.

Inadaiwa kuwa Aprili 21 mwaka huu Msigwa ambaye ni Waziri Kivuli wa Maliasili na Utalii alitoa tuhuma hizo kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika Shule ya Msingi Mbuguni wilayani Nyamagana mkoani Mwanza.

Aidha alizitoa bungeni wakati akiwasilisha hotuba ya Kambi ya Upinzani katika Makadirio ya Bajeti ya Wizara ya Maliasili na Utalii mwaka 2013/2014. Katika hati ya madai, Kinana anadai kuwa kutokana na tuhuma hizo ameharibiwa tabia yake, uaminifu, hadhi yake kitaaluma na weledi na kumfanya achukiwe na kudharauliwa katika jamii.

Anadai jina lake na heshima ambayo ameijenga kwa muda mrefu, vimeharibiwa na Msigwa kwa nia mbaya, pia kwa tuhuma hizo anazosisitiza kuwa ni za uwongo, licha ya kumsababishia maumivu ya kisaikolojia, pia zimemsababishia hasara ya fedha.

Anadai kuwa kabla ya tuhuma hizo alikuwa katika hatua za mwisho za mchakato wa mazungumzo ya mradi wa ubia wa kilimo cha mboga na mwekezaji kutoka kampuni ya nje, lakini tuhuma hizo zimesababisha kampuni hiyo kuvunja majadiliano hayo.

Kinana anadai kuwa sababu iliyotolewa na kampuni hiyo kuvunja mazungumzo hayo ni kutajwa kwake na mbunge huyo kuwa ni jangili anayejishughulisha na biashara hiyo.

Kwa mujibu wa hati ya madai, Mradi huo ulikuwa na thamani ya Dola za Marekani milioni nne, Hisa za ushiriki wa Kinana zilikuwa ni asilimia 25 katika kipindi cha miaka mitano hivyo anatathmini kuwa amepata hasara ya Sh milioni 350.

Kinana anaiomba Mahakama hiyo imwamuru Msigwa amlipe fidia ya Sh milioni 350 kama hasara rasmi, pamoja na fidia ya maudhi na fidia ya hasara ikiwemo gharama za kesi.

Aidha anaiomba Mahakama imwamuru amlipe riba kwa kiwango kitakachopangwa na Mahakama, tangu tarehe ya hukumu hadi malipo ya mwisho, imwamuru kufuta tuhuma dhidi yake na kumuomba radhi kwa kuchapisha katika magazeti mawili ya Kingereza na mawili ya Kiswahili yanayosambazwa nchini.

Pia Mahakama itoe zuio la kudumu kumzuia Msigwa, au wakala wake kutoa au kuchapisha taarifa zozote za kashfa dhidi yake. Katika hati ya madai amenukuu baadhi ya kauli za Msigwa, ikiwemo "Kinana (naomba waandishi wa habari mnisikie na nyie Usalama wa Taifa mkapeleke habari) hana sifa za kupita barabarani na kuwaambia Watanzania waiamini CCM. Kinana mikono yake si misafi."

"Hata kwenye Nassaco, Shirika la Meli Tanzania kuna harufu ya ufisadi ndani yake; ajibu hoja...Kinana meli zake ndizo zinazohusika kubeba pembe za ndovu nchini. hajajibu hoja hizo! Kwa siku nchi hii tembo 67 wanauawa.

"Hao ndio wanaokifadhili Chama Cha Mapinduzi, halafu wanakuja eti kuwashawishi Watanzania muwasikilize na kwamba Chama Cha Mapinduzi eti ni kizuri."

".Haya mambo ninayoongea ni hatari kwa sababu haya yote ni majangili ni organized Crime. Ni mtandao wa Kimafia, uko duniani kote, unaweza ukatuua lakini wabunge tumesimama tunawatetea..."



"TOA MAONI YAKO UKIZINGATIA MAWAZO HAYA"

Wednesday, July 10, 2013

READ THIS

Mandela`s biggest regret"

South Africa is closely watching; so does Tanzania, and the rest of the world. But as the world closely monitors the fate of anti-apartheid icon, the biggest regret for Nelson Mandela, a man whose actions liberated millions in his country and inspired billions globally, was failure to have a stable family.

He has respect, fame and a lasting legacy inside and outside South Africa, but according to his words, missed one major thing, which he came to regret: stable personal lives.

Nelson Mandela’s life has always known one thing: struggle; he spent 27 years in jail during his struggle to liberate South Africa from brutal apartheid regime. He struggled to build a family, but ended up as husband to three wives, a father to many children and an unstable family. To his credit, he rebuilt his rainbow nation during a single term in its presidency.

Now he lies in his hospital bed; he has clocked 30 days fighting for his life. But as he struggles with his life, back home his family is also involved in a bitter struggle over a burial site.

But as he fights for dear life, Mandela reveals his biggest regret, quote, Failure to have stable personal lives.

“When your life is the struggle, as mine was, there is little room left for family… That has always been my greatest regret, and the most painful aspect of the choice I made.” Mandela wrote in his memoirs.

Judging by what transpired within his family early this week, it’s obvious Mandela was right: He sacrificed his life to liberate millions of blacks in South Africa, but at the end, lost the opportunity to be a father -- his right to live close to his family.

On Friday, South African Archbishop Desmond Tutu had few choice, if saucy, words for the feuding family of Nelson Mandela, saying it was like spitting on the face of the world’s most respected leader.

The Mandela's family dispute comes at precarious times. The statesman is in hospital yet again, and this time, on life support for a recurring lung infection.

Yesterday, South Africa’s newspaper, The Star, published a story titled Mandela: A family of struggle in which all key members of the anti-apartheid icon who are currently involved in a family feud are well explained.

Dr Pumla Makaziwe Mandela

The only surviving child from Mandela’s “first” family, Makaziwe has often spoken out about the void between her father and his children.

“‘I used to talk to my brothers about it and they would tell me ‘Don’t look for your father. He has given his life to politics. He lives and breathes politics’,” she told the Daily Mail in 2010.

In an excerpt from his own, Conversations with Myself, Mandela recalled a visit from friends the night before he was again set to leave home on business: “We sat up until about midnight, and as they were leaving the house, my daughter Makaziwe, then two years old, awoke and asked me if she could come along with me... For some seconds a sense of guilt persecuted me and the excitement about the journey evaporated. I kissed her and put her to bed and, as she dozed away, I was off.”

It didn’t get any easier after Mandela returned into his children’s lives.

“I still think that after he was released, he should have created some space for the family, for his children,” Makaziwe told the Daily Mail years ago.

“We were ignored, or at least not acknowledged, while he was preoccupied with politics… Even now, when he has more time, he doesn’t make the effort to really engage.” Still, it’s been Makaziwe who’s come most strongly to the defence of her father, recently calling the media covering his hospital stay “racist” and “vultures”.

She has also teamed up with half-sister Zenani to have Bally Chuene, George Bizos and Tokyo Sexwale removed from the Mandela Trust.

And, perhaps with time, her rift with her father has healed.

“It’s the hand that he stretches out,” she said earlier this year.

“It is the touching of the hand that speaks volumes for me. And for me, if you ask me what I would treasure, it is this moment that I treasure with my father. It means ‘My child, I’m here’. It means to me that ‘I’m here. I love you. I care’.”

Nkosi Zwelivelile Mandla Mandela

The chief of Mvezo and Mandela’s oldest grandson, Mandla is said to have come under pressure after his grandfather lost both his sons.

“He was devastated when my older brothers passed away,” Makaziwe told the Daily Mail in 2010, a time before legal battles had pitted the two against each other. “Now he’s pinning his hopes on my brother Makgatho’s sons.”

Mandla has often spoken of the influence his grandfather had on his life and his studies, because he was the chosen one to lead the family.

“He really wanted to ensure that if there was a next one in mind to take over and look after the Mandela legacy, he needed that individual to have a strong foundation,” Mandla was quoted as saying by the African Review in 2010.

But as the burial saga swirls out of control, even this Mandela endorsement has been questioned. This week, his brother Ndaba said Mandla was born out of wedlock – making him ineligible as chief.

It’s now a fight over who is the “most” Mandela.

Ndaba was born of infidelity, Mandla said. Mbuso and Andile were not really his brothers, he said. Makaziwe had no place in the Mandela family business, he said. And he knew the true wishes of his grandfather, he said.

“This is the very family who have taken their own grandfather to court for his money,” he told the media yesterday. “I still refuse to be associated with the court actions that are a clear squabble over my grandfather’s money.”

The wives

Evelyn Mase, the first wife

“I think I loved him the first time I saw him,” Mase told her biographer, Fatima Meer. But after their marriage dissolved owing to what Mandela called ideological differences, Mase felt bitter and isolated from the “second family”.

“How can a man who has committed adultery and left his wife and children be Christ?” she told a journalist after his release. “The whole world worships Nelson too much. He is only a man.” She died in 2004.



Winnie Mandela, the second wife

Zami – that’s what Mandela called Winnie, for whom he pined from prison. “The letters from you and the family are like dew and summer rains and all the national beauty that refreshes the mind and makes one feel confident,” he wrote to her in 1976.

In 1992, they divorced on the back of allegations of Winnie’s infidelity.

“I shall personally never regret the life Comrade Nomzamo and I tried to share together… I part from my wife with no recriminations,” Mandela announced.

Graça Machel, the third wife

In a 1998 interview with The Mercury’s sister paper, The Star, Machel called her then boyfriend “simple, humble and soft”. She said they were “two grown-up people who love each other”, but said they would not get married. That was January. In July, they wed.

From a personal file published in Conversations with Myself, Mandela wrote: “I cannot describe my joy and happiness to receive the love and warmth of such a humble but gracious and brilliant lady.”

The children

Evelyn’s sons

When Madiba Thembekile, Mandela’s first-born son, died in a car accident aged 24, his father felt he should have been prepared. It was the second child he had lost – his first daughter, also named Makaziwe, died of meningitis when she was nine months old, said Mase.

Thembi’s death was a blow. Mandela, who was in prison, couldn’t attend the funeral and transferred his hopes to Makgatho, his second eldest. It was a strained relationship. Makgatho was only 12 when his father went to prison.

“I will be failing in my duties if I did not point out that the death of Thembi brings a heavy responsibility on your shoulders. Now you are the eldest child,” he wrote to Makgatho in 1969. When Makgatho died of Aids in 2005, Mandela reportedly said: “My son was an attorney by profession and he was actually admitted as an attorney by the judge president of this province, which was a great honour. Beyond that, I’ve nothing else to say.”

Winnie’s daughters

It was 1977 when Zenani Dlamini first hugged her father, she would tell US media in 1987, such was the impact of Mandela’s imprisonment of the lives of her and her younger sister Zindzi.

In 1969, he wrote to his daughters from prison: “Once again our beloved Mummy has been arrested and now she and Daddy are away in jail…

“For long you may live like orphans without your own home and parents… Perhaps never again will Mummy and Daddy join you in house No 8115 Orlando West, the one place in the whole world that is so dear to our hearts.”

Mandela would later writes: “As I later said at my daughter Zindzi’s wedding, it seems to be the destiny of freedom fighters to have unstable personal lives. When your life is the struggle, as mine was, there is little room left for family. “That has always been my greatest regret, and the most painful aspect of the choice I made.”

Tuesday, May 7, 2013

STORY BEHIND YOUR DATE OF BIRTH !!!! Interesting !!

Take some time to read, its worth reading , Please share after reading......

STORY BEHIND YOUR DATE OF BIRTH !!!! Interesting !!


Hey this is really true and see it will work for you too

If U were born on the 1st, 10th, 19th, 28th of any month U r number 1....

If U were born on the 2nd, 11th, 20th, 29th of any month then U r number 2...

If U were born on the 3rd, 12th, 21st, 30th of any month then U r number 3...

If U were born on the 4th, 13th, 22nd, 31st of any month then U r number 4...

If U were born on the 5th, 14th, 23rd of any month then U r number 5...

If U were born on the 6th, 15th, 24th of any month then U r number 6...

If U were born on the 7th, 16th, 25th of any month then U r number 7...

If U were born on the 8th,17th,26th of any month then U r number 8...

If U were born on the 9th,18th,27th of any month then U r number 9...

NUMBER 1

You are smart, straight talking, funny, stubborn, hardworking, honest,Jealous on competing basis, kind hearted, angry, friendly, authorities,Famous

person...always want to be and regarded as first on people position, they are often like to be independent, will never be under others, self confident

people!
You are most likely to fall in love in the younger age, but will get marry when you mature! You are likely to have problems with people who have opposite

views
And you are most likely to take revenge over your enemies in a long time basis. You are a spender, but you will have a good profession in the future.

If you are guy you will be very popular that everybody will have mental attraction and respect at you. You can go anywhere from the local shop to the

heart of the parliament because you are positive and well talented in numerous issues!! But in your life you will always have some people who will work

hard to bring you & your name down. This is undercover!! Coz of your smart behavior you will be hated by some people too...

Your family life is very cool, you will have a very nice partner & wonderful children... You are pioneer, independent & original...

Your best match is 4,6,8 good match is 3,5,7 !!!

NUMBER 2

No matter what, you will be loved by every one coz your ruler is the moon and every one loves the Moon. Well.. You are a person who day dream a lot,

you have very low-self confidence, you need back up for every move in your life, you are very much unpredictable. Means you do change according to

time and circumstances, kind a selfish, have a very strong sense of musical, artistic talent, verbal communication.

Your attitudes are like the Moon, comes to gloom and fade away so everybody can expect changes in you. You can be a next Mahatma Gandhi who does

peace love or you can be a Hitler who wants to destroy the man kind and peace (I mean in the community and your own home).

If you really have a deep thought about your own believe in God you can feel the difference which will make you stronger! Most of the time your words

are a kind of would be happening true! So without any knowledge you can predict the situation. You will become poets, writers, any Artistic business

people!

You are not strong in love, so you will be there and here till you get marry.. If U r a girl you will be a responsible woman in the whole family. If U r

a man you will involve in fights & arguments in the family or Vice-versa. Means you will sacrifice your life for the goodness sake of

Your family...You are gentle , intuitive with a broad vision, a power behind the scenes, well balanced People!!!

Your best match is 2 ,5 ,9 no other people can put up with you !!!


NUMBER 3

You are a person of hard hearted, selfish most of the times, religious, loves to climb up in your life. You always tend to have lots of problems within

your family in the early stages but you will put up with everything.. You have the strong word power, pretty happy face.. So wherever you go always

you have got what you wanted!!! And from the birth always wanted to work hard in order to achieve something.. You will not get anything without hard

work! When you reach a man/ woman age you want other younger once to listen to you because you want younger people to respect people older than

them. You do set so many examples to others.

Generally you are not a cool person. It's not easy thing dealing with you. A tough player you are! But once you like someone's attitude then here you

go, what can I say? It will be a lasting friendship. You always have respect from others.

Your life seems to have lots of worries and problems but sure they won't be long.. you will always have brilliant kids!!! You love the money a bit too

much so temptation will push you to endless trying and trying.. If you are a guy then it's over. Looking after your family and help friends, so you will

spend a life time just being generous and kind (except 21st born men). And number 3s you will
be such an example of how to be in the culture & life!!! If you are girl then you have good character and culture & hardworking attitude. You always

follow.

You are a freedom lover, creative, ambition

focused, a person who brings beauty , hope & joy to this world!!!

Your best match 6 ,9. Good match 1 ,3 ,5 !!!

NUMBER 4

You are very stubborn too, very hard working but unlucky in important matters in life, very cool, helpful, you have rough word power.. Might put lots

of people away from you, you may cause nuisance to others if you are a man, and you often understands others and their problems well. If you are a

girl you are very good with studies and arts. If you are a guy you spend most of the time after girl friends (almost) at times, you will have sort of too

much fun life with mates & girls. Your friends will spend your time & money and get away with their life and you will become empty handed and don't

know what to do... So be careful!! You love to spend anyway!!!

Your good will is you are always there to help family and friends. Tell you what you people are little gem! s, specially the girls.. You always fall in love

in younger age as well. You often live with disappointments, for an example you have got a degree in some thing... but you will be unemployed.. or will

do very ordinary jobs.

But you will take care of your family very well...All you need to be careful of people who will take advantage of your kind heart. And beware of your

relations too..

You are radical, patient, persistent,a bit old-fashioned, you live with foundation & order...

Your best Match 1, 8. Good match 5 ,6 , 7 !!!

NUMBER 5

You are very popular within the community, you can get things done by just chatting..to even enemies! You have a pretty good business mind, you are

often have no-idea what is today is like, or tomorrow is like, you are a person who does anything when your head thinks "lets do this". You will be

famous if you open up a business, get involve in share dealings, music etc.. Very popular with sense of humor ,you are the one your friends and families

will always ask for help, and you are the one actually get money on credit and help your friends. You will have more than 1 relationship, but when u

get settle down you will be a bit selfish anyway. Coz your other half will have a pretty good amount of control in you, be careful! You tend to go for

other relationships! Contacts even you are married at times 'coz your popularity..

You are someone who get along with anyone coz the number 5 is the middle number.. Changes & freedom lovers you are! You are an explorer with magic

on your face. You learn your life through experience and it's your best teacher!!!

Your best match 1 ,2 ,9. Good match 6 ,8 !!!

NUMBER 6

Ooopppss..you are born to enjoy.. You don't care about others. I mean you are always want to enjoy your life time, you are a person.. You will be very

good in either education or work wise or business management! You are talented, kind (but with only people who you think are nice), very beautiful girls

and guys, popular and more than lucky with anything in your lives. All the goodness does come with you. Your mind and body is just made perfect for

love.

You are lovable by any other numbers. But if you are a number 6 man, you will experience kind of looks from most girls and will involve in more than

few relationships until you get married. If you are girl, most of you will get marry/engaged early. You are a caring person towards your family &

friends . If you miss the half-way mark then you are about to suffer physically and mentally. Generally you will lead a very good inner-home happiness

with nothing short of. You are a person of compassion, comfort & fairness, domestic responsibility, good judgment, and after all you can heal this

world wounds to make peace for every life coz you have the great power of caring talent to make this world of love one step further...

Your best match 1, 6, 9. Good match 4, 5 !!!

NUMBER 7

You have got the attraction to anyone out there, you are realistic, very confident, happy, such a talented individual with your education, music, arts,

singing, and most importantly acting too. You have real problems with bad temper! If you are a girl, you are popular with the subjects listed above.

You give up things for your parents. I mean you value your family status a lot, you will be in the top rank when you reach a certain age. If you are a

guy you are popular with girls, you are a very talented too. Most of the number 7s face lots of problems with their marriage life.

Only a very few are happy. You have everything in your life, but still always number 7s have some sort of unfullfilness, such worries all their lifetime.

It's probably the Lord given you all sort of over the standard humans talents and you are about to suffer in family life. So you need to get ready

looking for a partner rather than waiting. If you don't, then you might end-up single. So take care with this issue,
ok?

You are wonderful, friendly, artistic, happy person.. You are born to contribute lots to this world!!!

Your best match is 2. Good matches are 1,4 !!!

NUMBER 8

You are a very strong personality, there's no one out there will understand you. You are very good at pointing your finger at some thing and say "this is

what".
You are more likely to suffer from the early ages. I mean poverty. If your times are not good you might lose either of your parent and end up looking

after your entire family. You often suffer all the way in life.

The problems will not allow you to study further, but you will learn the life in a very practical way. You are the one who will fight for justice and may

die in the war too. You are normally very reserved with handful of friends and most of the time live life lonely and always prepared to help others.

Well. once you get married (which is often late) then your bad lucks will go away a bit and you! u become safe. You will face un-expected problems

such as : the error, government, poisonous animals, accidents.

You are some one with great discipline, persistence, courage, strength which will take you to success. You are a great part of a family team. You are a

fighter!

Your Best match 1 ,4, 8. Good match 5 !!!

NUMBER 9

Hey...you guys are the incompatibles people in the world. You are so strong, physically and mentally... You are often have big-aims. You will work hard

and hard to get there. Normally you suffer in the early age from family problems and generally you will have fighting life.. But when you achieve what

you have done, it's always a big task you have done! You are so much respected in the community, you are a person who can make a challenge and

successfully finish the matter off.

You are very naughty in your younger age, often beaten up by your parents and involve in fights and you seemed to have lots of injuries in your life

time. But when u grow you become calm and macho type.

Love is not an easy matter for you. You are good in engineering or banking jobs coz people always trust you.

Your family life is very good, but will have worries over your children.

Your such qualities are humanitarian, patient, very wise & compassionate.

You are born to achieve targets and serve every one all equally without any prejudice.

You are totally a role model to anybody in the world for a great inspiration.

Your Best match 3, 5, 6, 9. Good match
2