Kama ilivyo ada kila tunafikia kuhitimu mwaka, mara nyingi kila mmoja hupenda kumshukuru Mungu, ndugu, jamaa na marafiki kwa kujuimka naye katika kukabiliana na changamoto za takribani siku 365.
Wednesday, December 24, 2014
Salamu zangu za Krismas na mwaka mpya
Kama ilivyo ada kila tunafikia kuhitimu mwaka, mara nyingi kila mmoja hupenda kumshukuru Mungu, ndugu, jamaa na marafiki kwa kujuimka naye katika kukabiliana na changamoto za takribani siku 365.
Tuesday, December 23, 2014
How our dear President Kikwete is Viewed outside TZ
How
our dear President Kikwete is Viewed outside TZ
Richard Brunwick
Tanzania's Kikwete is one of the most pathetic African leaders of our times. He is a peacetime leader for a country known to be one of the richest in the world in terms of natural resources, yet he leades the world with begging. Foreign companies have known Tanzania to be a free land in which you can go in and take all you can without being asked a question. I really don't get the mind set of its leaders especially their prsident Mr. Kikwete, a Muzungu worshiper.
Tanzania's Kikwete is one of the most pathetic African leaders of our times. He is a peacetime leader for a country known to be one of the richest in the world in terms of natural resources, yet he leades the world with begging. Foreign companies have known Tanzania to be a free land in which you can go in and take all you can without being asked a question. I really don't get the mind set of its leaders especially their prsident Mr. Kikwete, a Muzungu worshiper.
UDSM YAFUKUZA TENA, SAFARI HII NI VIONGOZI WA DARUSO
UDSM
INAELEKEA WAPI???
Nawasalimu wote kwa
salamu ya kikamaradi ambayo huamkiwa kwa fanani kusema; “Mbiu ya mnyonge” na
hadhira kuitikia: “Ni kalamu”…!!!!!!!!!!!
Natumai wote hamjambo
na mnaendelea vyema na maandalizi ya sikukuu za krisimasi na mwisho wa mwaka.
Monday, December 22, 2014
MAPUNGUFU YA HOTUBA YA KIKWETE.....
MAKOSA YA WAZI KWENYE
HOTUBA YA RAIS
1.
Hoja kwamba pesa zilitolewa kwa uamuzi wa
hukumu ya sept 5.2013 sio sahh kwasababu hukumu ilisema ALL AFFAIRS OF IPTL SHOULD BE HANDED TO PAP. Haikusema kama escrow monies ni party of affairs of IPTL
kwasababu zilikuwa kwenye mgororo. hoja ya kusema hukumu ilisema ilikuja baada
ya kikao cha Oct8.2013 kunduchi beach hotel ambacho kiliongeza maneno kwenye
hukumu kwa kusema ALL AFFAIRS OF IPTL INCLUDING
RECEIBLES FROM ESCROW AC SHOULD BE HANDED TO PAP. Huko ni kupotosha hukumu kwani hela za escrow zilikuwa na
mgogoro kati ya Tanesco na IPTL na PAP kununua IPTL haimanishi mgogoro kati ya
IPTL na Tanesco umekwisha bali PAP ingechukua nafasi ya IPTL kwenye mgogoro wa
pesa za escrow. hili Rais kapotoshwa.
Friday, December 19, 2014
Mheshimiwa Rais wa
Jamhuri ya Muungano ya Tanzania, Nianze waraka wangu huu kwa kutanguliza salamu
zangu za dhati kwako. Kwa taratibu za mila na desturi za kimasai, napaswa nikusalimie
kama baba yangu kwa kusema “Airoroki papa”. Tukirudi kwa lugha yetu mama ya taifa
napaswa nikusalimu kwa kusema “Shikamoo baba”. Vile vile kwa kuwa una
wawakilisha watanzania wanaoamini kwa Imani za dini mbalimbali, nisiwanyime nao
ladha ya salamu zangu kwako. Nianze kwa salamu za kikristu ambapo napaswa niseme
“Bwana Yesu asifiwe Mheshimiwa Rais”. Nikisema pia “Asalam Aleikum Warahman tulahi
Allah wabarakatu” nafikiri utanielewa nawakilisha kundi lipi.