Shughuli kuu za uchumi kwa wakazi wa kata ya Terrat iliyopo jijini Arusha ni kilimo na ufugaji. Kwa mwaka huu ashukuriwe Mwenyezi Mungu kwani hali ya mazao mashambani sio mbaya lakini pia malisho kwa mifugo ni ya kuridhisha......
Kikubwa kinachotusibu ni vijana wengi (Korianga) kuuza mazao yote wanayovuna, mbaya zaidi wanafanya hivyo kwa matumizi ya pombe.......
Loiye olaji lang' matapal enaisho mateshet losingon oo ngang;itie.......
Metoripo indai engai nibikibiki kanaa ndonyon...
0 comments:
Post a Comment