Thursday, October 10, 2013
MWAKA WA LIVERPOOL
Mwaka huu club bingwa mara nne ya UCL, Liverpool ya Uingereza inaonekana itarejesha hadhi yake kwa kucheza UCL kwa msimu ujao. Hii inatokana na mwenendo wa timu hiyo kwenye ligi kuu ya uingereza ambayo ipo nafasi ya pili ikiwa na point sawa na Arsenal inayoongoza ligi hiyo....
0 comments:
Post a Comment