Music

This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 2 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 3 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 4 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 5 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

Thursday, January 29, 2015

Mke mwema ni yupi????

Chagua mke kipofu, Kitembea hatazami
Mbonize sio potofu, Aonacho halalami
Kiwa nje huna hofu, Haulizi hasimami
Mke alo na kasoro, Kioa ni mke bora

Thursday, January 22, 2015

Impressive quote


Kama tukisimamia maneno haya ni ukweli usiofichika tutafika mbali kiuchumi na kamwe hawa wnguruwe weupe wataacha kutunyonya..........

Tuesday, January 20, 2015

“PANYA ROAD” MSAMIATI MPYA JIJI LA DAR ES SALAAM

“PANYA ROAD” MSAMIATI MPYA JIJI LA DAR ES SALAAM
Ulikuwa mwanzoni kabisa mwa mwaka 2015, viunga kadhaa vya jiji la Dar es Saalam vilipokumbwa na kimbia kimbia na kupotea kwa amani ya raia wake kwa muda. Hali hii ilishtua na kutikisa sio tu jiji la Dar es Salaam bali nchi nzima. Taifa lilibaki masikio na vinywa wazi kutokana na kuibuka kwa kikundi hiki ambacho hakina tofauti na Boko Haram, Mungiki, Tamil Tigers, M23 n.k. Labda utofauti uliopo kati ya kikundi hiki chenye jina “Panya road” ni utofauti wa madhumuni, malengo na makusudi ya kuanzishwa.

Sunday, January 4, 2015

BARUA YA WAZI KWA MHESHIMIWA DIWANI KATA YA TERAT



BARUA YA WAZI KWA MHESHIMIWA DIWANI KATA YA TERAT
MheshimiwaDiwani, nianze barua yangu hii kwa kukusalimu kama ilivyo ada na desturi yetu watu wa Afrika ambao tumelelewa na kukuzwa kwa maadili na miiko ya jamiii inayotuzunguka. Kwakuwa barua hii inawakilisha makundi mbalimbali ya watu kwenye jamii yetu, name nitoe salamu yangu kwakuzingatia makundi hayo yanayounda jamii yetu. Shikamoo Mheshimiwa Diwani, hii itasimama kuwakilisha makundi yote ya vijana wa kike na wa kiume pasipo kuzingatia mrengo wowote wa dini wala siasa. CCM oyeeee!!! Hapo natumai umenielewa nimewakilisha kundi lipi na mrengo upi. Peoples…..!!!!! Wengine najua watakusihi usiitike salamu hiyo kwasababu ni mrengo tofauti na wewe pasi na kusahau kwamba wewe ndio baba wa watu na vitu vyote vyenye mrengo na itikadi mbalimbali kwa kuzingatia ule msemo wa kibeberu unaosema “Minority rights and majority rule” Vile vile nisisahau wale wenye misimamo ya kiimani kwa kuwajumuisha kwa salamu ya Bwana Yesu asifiwe Mheshimiwa Diwani, na/au Asaalam aleikum warahman tulai Allah Wabarakatu!!!!